UJUMBE WA LEO. INATAKIWA NITAMBUE MAANA HALISI YA MFUNGO
Kuomba ni mbinu ya kiroho inayousaidia moyo wa mwamini kupata utulivu wa kumsikia Mungu, ndio maana nikiwa katika kipindi cha mfungo inatakiwa mambo haya muhimu.
A)Nihakikishe nina muda wa kutosha wa kusoma Neno la Mungu