Jumapili, 17 Julai 2016

INATAKIWA NITAMBUE MAANA HALISI YA MFUNGO

UJUMBE WA LEO.       INATAKIWA NITAMBUE MAANA HALISI YA MFUNGO

 Kuomba ni mbinu ya kiroho inayousaidia moyo wa mwamini kupata utulivu wa kumsikia Mungu, ndio maana nikiwa katika kipindi cha mfungo  inatakiwa mambo haya muhimu.

  A)Nihakikishe  nina muda wa kutosha wa kusoma Neno la Mungu

Jumapili, 12 Juni 2016

MAISHA YA MKRISTO YEYOTE YANAONGOZWA NA KAULI YA NABII. Sehemu 2


Somo la Jumapili:
MAISHA YA MKRISTO YEYOTE YANAONGOZWA NA KAULI YA NABII. Sehemu ya 2

- Unabii ni mwongozo, maelekezo, taarifa ya mambo yajayo inayo nipa wepesi au ni jinsi gani ninaweza kujipanga katika kuomba.
2 Wafalme 20:1-5

- Ili maombi yangu yapate kibali mbele za Mungu lazima maombi yangu yaongozwe na kauli ya Nabii juu ya maisha yangu, Kwa sababu kauli ya Nabii ndiyo inayo nipa kibali cha kupokea majibu.
Daniel 9:2

- ( Nabii ni Mtumishi wa Mungu wa pekee mwenye uwezo wa kutuelezea nia ya Mungu juu ya maisha yetu ).
Amosi 3:7

Jumapili, 5 Juni 2016

MAISHA YA MKRISTO YOYOTE YANAONGOZWA NA KAULI YA NABII


Somo la Jumapili:

MAISHA YA MKRISTO YOYOTE YANAONGOZWA NA KAULI YA NABII

- Kwanza kabisa lazima nijue Nabii ni mtu wa namna gani, Nabii ni mtumishi wa Mungu aliye pewa

Jumapili, 22 Mei 2016

YANIPASA KUSHUKURU


Somo la leo: Jumapili

YANIPASA KUSHUKURU.

- Kabla sijaendelea mbele zaidi, yanipasa kujua nini maana ya shukrani?

- Shukrani maana yake ni hali ya moyo kuwa na unyenyekevu wa kupokea taarifa yoyote iliyo mapenzi ya Mungu kwangu.

Jumapili, 15 Mei 2016

NAMNA AMBAVYO UCHUMI WANGU UNAWEZA KUIMARIKA


Ibada ya Jumapili:

Somo:- NAMNA AMBAVYO UCHUMI WANGU UNAWEZA KUIMARIKA.

- Uchumi una kanuni zake ili uweze kuimarika katika maisha ya mtu.

- Uchumi wangu ili uweze kuimarika itatokana na ubunifu nitakao kuwa nao katika secta ya uwekezaji wa vitu tofauti tofauti, na vile vile inatakiwa nijifunze kuweka akiba.

Jumapili, 8 Mei 2016

HATUA ZA MABADILIKO


IBADA YA JUMAPILI:

HATUA ZA MABADILIKO.

- Nikiwa Kama mkristo ninaye mwamini Mungu inatakiwa maisha yangu yaendane na hatua za mabadiliko, kwa sababu namcha Mungu katika hali ya kiimani, kwa hiyo lazima maisha yangu niyaendeshe katika hali ya kiimani pia.

Jumapili, 1 Mei 2016

IMANI IMARA INA UVUMILIVU

Somo la Leo: IMANI IMARA INA UVUMILIVU.

- Imani niliyo nayo inazidi Kuwa imara ninapo kuwa nina uvumilivu zaidi.