Jumatano, 23 Aprili 2014

MIMI NINAISHI NA NGUVU ZA MUNGU


  • Ninashindwa kujitambua kwamba ninaishi na nguvu za Mungu kwasababu ya udhaifu wa imani
  • (Imani yangu ikiishakuwa dhaifu, nivigumu kupata mpenyo katika maono niliyo nayo)
  • (Imani ndiyo inayoongoza maisha ya mwanadamu anayeishi katika mwili,kwa kitu anacho kifanya ndio maana unaweza kumsikia mtu ankisema tumuombe Mungu tutafanikiwa hiyo ni imani)
  • Hii nguvu ya Munguiliyoko juu ya mtu inazaa malaka ambayo ndiyo inayomsaidia mkristo mwamini kufanikiwa katika maisha yake ya ucha Mungu.
Angalizo  
  • Nikiisha jitambua ninayo mamlakam ya kimungu inatakiwa niishi maisha sambamba na Neno la Mungu linavyo sema, hapo nitaziona baraka za Mungukatika maisha yangu.

Maoni 2 :

Unknown alisema ...

Amen

Unknown alisema ...

Ubarikiwe sana kufuatilia masomo ambayo yana ijenga imani yako