RIVER
OF HEALING MINISTRY
(Kapernaum church by pastor babg power)
UJUMBE WA LEO TAREHE 04-05-2014
UKUAJI
WA IMANI SEHEMU YA 2
KIPENGELE A: MAZINGIRA YA UKUAJI WA IMANI
- · Mazingira ya kukua kiimani iantakiwa nitafute ushirika na Neno la Mungu.
- · Imani za wakristo wengi waamini zimedumaa kwasababu kuu mbili
A:Kukwepa kusoma biblia
B:Kukwepa
mafundisho ya Neno la MUNGU, ndio
maana wakristo wengi waamini
wamelemea
katika sehemu moja tu, kuombewa.
- · Na watu wa namna hii wameanguka katika mtego mbaya wa kishetani , kivipi
A. kulinganisha huduma
B. Kufanya utafiti
C.Kusema watumishi wa Mungu,ndio
maana biblia ikatoa tahadhari kuu juu ya
watu kama hao, kama ilivyo
andikwa katika Tito 1:16
- · Imani ya mkristo ikipata ufahamu wa Neno la Mungu huwa hai,huo huwa ndio mwanzo wa imani ya mkristo huyo kuumba miujiza,kuumba baraka, humpa ulinzi dhidi ya roho za uvamizi,juu ya hili jambo kitabu cha 1petro1:5 imefafanua wazi.
- · Msingi wa imani ya Neno la Mungu ukiiwepo ndani mwangu kikamilifu kila kitu kitafunguka wazi katika maisha yangu
- · Ili niwezekufanikiwa katika mazingira ya ukuaji wa imani yangu inatakiwa nifanye mambo yafuatayo, kibiblia mambo haya huitwa mazoezi ya kiroho
A: Usomaji wa biblia marakwamara, juu ya hili kwa wakati mwingine
inatakiwa
nijilazimishe.
B:Ufungaji wa mara kwa mara.
C:Uombaji na kukesha.
·
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni